Na Gladness Mallya
NDOA ya Mtangazaji wa B&M, Maimartha Jesse inadaiwa kutibuka baada ya Maimartha feki kuibuka kwenye Mtandao wa Kijamii wa Facebook na kuomba fedha kwa watu akidai ana matatizo makubwa ya kifamilia.
NDOA ya Mtangazaji wa B&M, Maimartha Jesse inadaiwa kutibuka baada ya Maimartha feki kuibuka kwenye Mtandao wa Kijamii wa Facebook na kuomba fedha kwa watu akidai ana matatizo makubwa ya kifamilia.
Mtangazaji wa B&M,
Maimartha Jesse.
“Nilipigiwa simu na kuambiwa ishu
hiyo, nikajitahidi kufanya uchunguzi wa kina ambapo nilimuomba huyo aliyetumiwa
ujumbe na kutoa fedha anipe namba ya Maimartha, nikamtuma mtu akaongea naye,
anaitwa Nasra,” alisema Mai.
Aidha, mwanadada huyo alisema anamsaka Nasra ili amkamate ‘laivu’ kwa vile ishu hiyo imechafua hali ya hewa ndani ya ndoa yake ambapo mumewe anaamini ni yeye na si Maimartha feki.
Aidha, mwanadada huyo alisema anamsaka Nasra ili amkamate ‘laivu’ kwa vile ishu hiyo imechafua hali ya hewa ndani ya ndoa yake ambapo mumewe anaamini ni yeye na si Maimartha feki.
Post a Comment