Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAMBO YA KANGA "MOKO" HAYOOOOOOOOO ......!!!!!



Astaghafirullahi.... hii sasa noma. Uchezaji huu wa mnenguaji mmojawapo wa akina 'Kanga Moko' nd'o uliomchefua mbunge hadi akalalamika bungeni leo.
Mmmhhh... uchezaji gani huu jamani? Ndo mambo ya akina 'Khanga Moko Laki Si Pesa, Milioni Moja Paketi Money'
Tobaaa....! Namna hii tutasalimika kweli? Huyu naye ni memba wa walewale akina 'Kitu T' na 'Kanga Moko'
Uuuuwwwiiiii.....mwenzenu nafwa na kiuno hiki... haki ya nani siangalii tena!

Mtazame na huyu... nd'o walewale. Tatizo ni hiyo khanga yenyewe moja, ambayo unaambiwa imeloweshwa kidogo na kuwa ndembendembe! Kwanini wabunge wasihofie upotofu wa maadili?

Ohooo....! Hawa nao wamevaa vizuri katikati ya mwili, lakini chini ni khanga moja ndembendembe na bado wanajibinua kihasara hasara. Ni balaaa tupu!
Apo chachaaaa....! Huu wote ni uchokozi wa akina Khanga Moko


Mama weeee.....! Hii si mitego jamani?
Download Our App

1 comments:

Maisha na mazingira yanabadilika na sisi tutake tusitake tutajikuta kidogo kidogo tunaingia katika mambo ambayo zamani hata tusingeweza kuyafikiria.Picha hizi na nyinginezo zinazofanana nazo,zamani tulikuwa hata hatuwezi kuziona na wala hata wapiga picha wasingethubutu kuzipiga.Any way TIME CHANGES AND PEOPLE CHANGE TOO. Na huu ni mwanzo tu kuna mengine meengi yapo njiani from USA MAMA WA MABALAA YOTE NA KILA LITOKALO HUKU UTAKUTA BAADA YA MUDA SI MREFU LISHAIGWA DUNIA NZAIMA.Mungu atuepushe

Reply

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top