Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBA DKT SHEIN MKOA WA KASKAZINI PEMBA

 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wananchi wa Konde wilaya ya Wete, Pemba jana alipotembelea barabara ya Konde-Wete,inayojengwa na kampuni ya LEA Associates South AsiaPvt Ltd, chini ya ufadhili wa shirika la MCC la Marekani,akiwa katika ziara ya kikazi Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akikata utepe kufungua madarasa mapya ya Skuli ya Msingi ya Ole,Jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba jana,akiwa katika ziara ya kikazi katika Mkoa huo,(kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna.
Baadhi ya wanafunzi wa Skuli ya Msingi ya Ole,Jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza nao baada ya kufungua madarasa mapya ya kusomea Skulini hapo jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akipokea risala wakati wa Sherehe ya ufunguzi wa Madarasa mapya.
Wanafunzi Jamila Abdalla Swaleh,(kushoto) na Haulat Yussuf Abdi,wakihani utenzi mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati wa Sherehe ya ufunguzi wa Madarasa mapya.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna,akizungumza na Walimu na wanafunzi wa Skuli ya msimgi Ole,Jimbo la Ole Mkoa wa Kaskazini Pemba jana,kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kuzungumza na wanafunzi na wananchi baada ya kufungua madarasa mapya skulini hapo. Picha na Ramadhan Othman Ikulu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top