Loading...
Home »
Unlabelled »
POLISI WAUA TARIME MTOTO WA MIAKA 9 KWA RISASI; TUNAOMBA RADHI KWA PICHA
Haya
ndiyo yaliyofanyika Tarime Jana mtoto wa miaka 9 kuuuwa na jeshi la
polisi kwa uzembe eti wanawakamata majambazi ambao si wale wanaoiba na
kuuwa watu mpaka mwa Tanzania na Kenya
on Friday, May 10, 2013
1 comments:
jamani watanzania tunaenda wapi kwa hali hii? hiki nikitendo cha kinyama walichokifanya askari wetu na kinapaswa kulaaniwa vikali sana; Ee mungu ilaze mahali pema roho ya marehemu
ReplyPost a Comment