Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja
anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili (pichani ) amekutwa na maiti ya
mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitano katika mji wa Lagos nchini
Nigeria mapema leo asubuhi.
Mbali na kukutwa na maiti ya mtoto huyo,kichaa huyo picha amekutwa na rundo la hirizi
Post a Comment