Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Citi Bank ofisini
kwake jijini Dar es salaam Julai 23, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa
Uchukuzi , Dr. Harrison Mwakyembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Citi
Bank baada ya kuzungumza nao , Ofisini kwake jijini Dar es salaam julai
23, 2014. kushoto ni Waziri wa Uchukuzi aliyemabatana na ujumbe huo na
kushoto kwa Waziri Mkuu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji
na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa
kampuni ya Sumitomo Chemicals ya Japan wanaokusudia kuwekeza kiwanda
cha mbolea nchini na katika kilimo cha mpunga. Wapili kushoto ni
Waziri wa Kilimo , Chakula na Ushirika, Mhandishi Christopher Chiza.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment