Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WEMA SEPETU: UGONJWA WA NGOZI UMENIHARIBU



MISS Tanzania 2006/07 Wema Sepetu amesema ugonjwa wa
ngozi ulioshambulia sehemu ya shavu lake la kushoto umeharibu urembo
wake na kumfanya ashindwe kutoka.

Akizungumza kwa huzuni, Wema alisema hakutegemea kama tatizo hilo
lingekuwa kubwa, kwani lilianza kama kipele kidogo ambacho baadaye
sehemu kubwa ilivimba na kuharibu mwonekano wake.

“Ulianza muwasho, kikawa kipele kisha kikageuka kama kishilingi.
Nilipokwenda hospitali nilipewa dawa ya crime ya kupaka, mimi
nikachua eneo lililoathirika, kumbe ndiyo nikawa nasababisha matatizo,
kukavimba zaidi kama unavyoona,”
alisema Wema ambaye alikataa kupigwa
picha.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top