Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KIJANA MMOJA ANUSURIKA KIFO AKIJARIBU KUIBA PIKIPIKI KAHAMA


 

 Haya twendeni vizuri sasa angali huko kwako ana nguvu huyu mtu hunaona  halivyokaaa
 Baada ya kufikishwa hospital ya wilaya ya kahama kwa matibabu ana baada ya wasamaria wema wakimsaidia nesi kumpeleka kwa dakitali kwa huduma .
 Nes nisaindieni jaamani nipo pekee yangu ndiyo maneno ya nes naosema na  kumuweka katika kiti cha wangonjwa .
 Njamaaa muinueni huko tumuweke kwenye kiti kwa ajili ya huduma hospitali ya wilaya ya kahama
 jaamani hajakaa vizuri mshikilieni vizuri kwanza 
Kijana mmoja anayekadiriwa kwa na umri wa miaka 30-32 ambaye hajafahamika majina wala makazi yake ameuawa kwa  kupigwa mawe, kisha kuchomwa moto na wananchi wanaodaiwa kuwa na hasira, baada ya kumtuhumu kutapeli pikipiki.

Tukio hilo limetokea jana  majira ya saa tano asubuhi katika mtaa wa Nyihogo, eneo la Mnazi Mmoja, Barabara ya Tabora Karibu na Ofisi za halmashauri ya Mji wa Kahama Mkoani Shinyanga.

 Mtuhumiwa huyo ambaye kwa sasa ni marehemu inadaiwa alikodisha Pikipiki hiyo  zaidi ya Miezi mitatu iliyopita katika eneo la Maegesho ya Daladala za Pikipiki katika Lango kuu la hospital ya Wilaya hiyo.

Aidha Mmiliki wa Pikipiki hiyo ambaye hajafahamika mara moja wala namba ya  pikipiki, inadaiwa alimkamata  maeneo ya mtaa wa Shunu Kata ya Nyahanga ambapo aliamua kumpeleka katika kituo cha polisi  akiwa amemfunga kamba.

 Baada ya wananchi kuona mtuhumiwa amefungwa kamba ndipo wakamuuliza mmiliki huyo ambaye aliwaeleza, na ghafla wananchi wakaanza kumshambulia kwa mawe na kisha kumchoma Moto.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga Justus kamugisha Amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa ni kweli tukio hilo limetoka jana majira ya asubuhi saa 5 kijana moja ambaye jina lake alikuweza kufahamika mara moja alikuwa amekamatwa na mwanachi moja ambapo alikuwa ametoloka na pikipiki yake maeneo ya nyahanga wilayani kahama .

Aidha kamanda kamugisha alizidi kuelezea kuwa pamoja na tukio hilo kutokea kwa kijana huyo  jeshi la polisi linawatafuta watu wote walifanya mauji hayo

MATUKIO KATIKA PICHA:


 Hapa ni baadhi ya mwananchi wakijalibu kumtambua kijana huyo.
 Twendeni sasa
 Jamaani nakufa hayo ni maneno ya huyo kijana hakisema kwa tabu sana

 Haya kaa vizuri kaka umekwisha fika hapa hospitali
 Haya twende sasa
CHANZO KIJUKUU BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top