Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum Mhe. Andrew
Chenge (mjumbe) akiongoza kikao cha kamati hiyo jana ambapo kamati hiyo
inamalizia uandishi wa Katiba pendekeze inayotarajiwa kuwasilishwa
Bungeni Jumatatu wiki hii. Kamati hiyo inachambua maoni ya taarifa za
Kamati pamoja na michango ya Wajumbe wakati wa Mjadala na kuyaweka maoni
hayo pamoja na kisha kuandaa katiba inayopendekezwa.
Loading...
Post a Comment