Katibu
Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wananfunzi wa Shule ya
Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa
cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa
kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya
kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia
furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya
kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa Kidato
cha Nne mwaka jana.
Katibu
wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwaimbisha wanafunzi wa
shule hiyo wimbo wa 'Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote',
uliotungwa enzi hizo na babake Moses Nnauye.
Mkuu wa shule hiyo, Suma akielezea historia ya shule hiyo inayojuisha watoto wengi yatima
Wanafunzi wakifurahia pongezi za ufaulu mzuri zilizotolewa na Kinana
Moja ya majengo ya shule hiyo
Wanafunzi wakishangilia kwa furaha baada ya kuimba bila matatizo wimbo huo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.KAMANDA WA MATUKIO BLOG
on Saturday, September 20, 2014
Post a Comment