Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KINANA , NAPE WAITEKA KIBAHA



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wakazi wa Kibaha mjini wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano .


 Kikundi cha ngoma cha Kisamamwe kikitumbuiza ngoma ya Afrika kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara ambapo Katibu Mkuu wa CCM alihutubia wananchi wa Kibaha mjini.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kibaha mjini ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa hoja ya msingi kiasi cha kuamua kufanya maandamano ya kuleta vurugu nchini.
 Sehemu ya Umati wa watu wakisikiliza mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Wana CCM wakiwa kwenye mkutano
 Mbunge wa Kibaha mjini Silvestry Francis Koka akihutubia wakazi wake na kuwaambia kuwa pamoja na jitihada zote anazofanya maji bado ni donda sugu ila ufumbuzi upo njiani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kibaha mjini wakati wa mkutano wa hadhara ambapo aliwaambia viongozi wa halmashauri hawana budi kukaa na wafanya biashara ndogo ndogo kujadili kodi kabla ya kuwapangia kuona kama wana uwezo wa kulipa ama hapana hii itasaidia kupunguza lawama na mikingamo baina ya wafanya biashara na halmashauri.
2Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi mara baada ya kukagua jengo la wazazi katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo wakati alipofanya ziara katika jimbo hilo ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake katika mkoa wa Pwani akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na kuimarisha uhai wa chama, Katibu Mkuu huyo katika ziara hiyo anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC, Siasa, Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-KISARAWE)3Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Nape Nnauye kulia, na kada wa CCM Bw. Iddi Janguo mara baada ya kukagua ujenzi wa jengo la wazazi katika hospitali hiyo.4Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimjulia hali mama mmoja anayeuguliwa na mtoto wake ambaye jina lake halikupatikana mara moja aliyelazwa katika hospitali ya Kisarawe wodi ya watoto wakati alipotembelea wodi hiyo.
5Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa moja ya majengo yanayokarabatiwa katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe.6Moja ya majengo yanayojengwa katika hospitali hiyo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aki8Jengo jipya linalojengwa katika  kata ya Palaka9Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua ujenzi wa zahanati hiyo katika kijiji cha Palaka11Katibu Mkuu wa CCM akishuhudia jinsi vijana wanavyofyatua matofali ya bei nafuu mradi ambao umebuniwa na Shirika la Numba kwa ajili ya kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana.14Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua matofali  ya ujenzi wa maabara  ya sekondari ya Gongoni Kata ya Manerumango15Wananchi wa  kata ya Manerumango wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.16Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Nape Nnauye Katibu wa NEC, Siasa, Itikadi na Uenezi wakati wa mkutano wa hadhara  katika kata ya Manerumango, Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Mwinshehe Mlao.17Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kisarawe Mzee Athman Janguo akisalimia wananchi huku Katibu wa CCM Mkoa wa Pwani Bi Joyce Masunga akiwa pembeni.19Mkuu wa mkoa wa Pwani Mh. Mwantumu Mahiza akizungumza na wana Kisarawe katika mkutano wa hadhara uliofanyika Manerumango leo20Nape Nnauye Katibu wa NEC, Siasa, Itikadi na Uenezi akiwahutubia wananchi katika mkutano huo.21Umati uliohudhuria katika mkutano huo22Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi na kuendesha mahakama ya wazi ya wananchi.23Seleman Said Jafo mbunge wa jimbo la Chalinze akizungumza na wananchi wake katika kata ya Manerumango25Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaliswa kwenye kigoda kama ishara ya upendo na kukubalika.26Wana CCM wakila kiapo mara baada ya kupokea kadi zao za uanachama wa CCM
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top