Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAMA NA MWANAYE WAOANA BAADA YA KUWA NA MAHUSIANO YA JINSIA MOJA



"Mimi na Vertasha mwanangu tulianza mahusiano yetu wakat kipindi hicho akiwa na miaka 16 tu.Lakini nilisubiri mpaka afikishe miaka 18 ndipo tungeanza mapenzi kabisa kwa sababu ni umri ambao unaruhusiwa kisheria,sasa tunatembea out bila kificho chochote ili kuwa saidia watu wengine ambao wako kwenye uhusiano wa kishoga/mama na mwana/wasagaji ilio wajisikie huru.Tunataka watu watutambue kwamba sisi tuna mahusiano ya jinsia moja kama kawaida alisema mama huyo"

Sheria zinazuia mahusiano ya kindugu hasa suala la usagaji katika nchi nyingi za kiafrika..
 "Sisi ni wanawake kwa hiyo mimi Vertasha hatuwezi kuzaa watoto tena na tumeridhika na mahusiano yetu "

Vertasha anafurahia mahusiano hayo pia na anasema hivi...!!

"Mama yangu ni mama yangu anafanya vitu ambavyo ni wajibu wa mama kuvifanya,ananinunulia nguo ananinunulia chakula ananiambia nikatandike kitanda ,so imetokea tu tukawa tunafurahia mapenzi kwa pamoja"
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top