Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MENGINE YAIBUKA KUHUSU MISS TANZANIA 2014


Miss Tanzania Huyo ambae awali wadau wengi walisema shindano la Mwaka huu limekuwa laki pekee kutokana na mshindi huyo Kwanza Kuongea Kifaransa wakati wa kujibu maswali, Pili umri wa Miss Tanzania kutajwa kuwa ana Miaka 23 ilhali Mama yake anasema ana Miaka 29, Huku Baba yake akisema ana miaka 18 na yeye mwenye akisema ana Miaka 18 huku kituko kingine kikitajwa kuwa katika Shindano hilo Ni Miss Pekee Kuvaa Gauni la Kwendea Kwenye Send Off....
..Sasa Na Jana hiyohiyo Ikatokea picha nyingine inayomuonyesha Miss Huyo ambae inasemekana ana miaka 18 akiwa katika Picha ya Pamoja na Mwanae wakati wa Sherehe ya Mahafali yake huko Ng'ambo Kwa Obama...Mtoto huyo anayeaminika kuwa ni wa Miss Tz 2014 ana umri wa Miaka 8 sasa hapa umri umeendelea Kumtesa Miss Tz 2014 kuwa Miss wa Kwanza Kupingwa na Asilimia 100 ya Watanzania Wote
NA LUKAZA 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top