Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU AAMUA KUJIVUA TAJI MWENYEWE ... ATOA KAULI NZITO

 




Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu. 


Baada ya watu kuja na Ushahidi mbalimbali juu ya umri wake Sitti Mtemvu kupitiapage yake ya facebook ameandika.


Habari tulizozipata hivi punde kutoka kwenye ukurasa wa facebook wa Miss Tz 2014 Sitti Abbas Mtemvu ameandika Kujivua Taji hilo la Miss Tz 2014 kutokana na anachokiita yeye kusakamwa, kusemwa na wadau mbalimbali wa urembo na Watanzania kwa ujumla kutokana na Kudanganya Umri kitu ambacho ni kinyume na taratibu za mashindano hayo ya urembo Nchini..

Tunaendelea Kufuatilia habari hii kwa kina kuweza kufahamu kama ni kweli amejivua taji hilo maana ukishangatwa na Nyoka hata Jani likikugusa unashtuka sasa inawezekena kaamua kuandika hivyo ili kuudanganya tena Umma wa watanzania ili apate likizo ya kutokuchunguzwa na BASATA mara baada ya Idara hiyo kupewa maelekezo ya Kumchunguza na kupumzika kwa Maneno ya Watanzania ambao wamekuwa mstari wa mbele katika kupaza sauti ambayo kiukweli Imeonyesha kuwa Miss Tz 2014 alidanganya Umri wake.
 
credit: Lukaza blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top