Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisaidia kulima shamba kwa kutumia
trekta katika shamba la Umoja Rika katika Kijiji cha Mkotokuyama, wakati
wa ziara yake wilayani, Nachingwea, Lindi.ya kuimarisha uhai wa chama,
kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kuata Ilani ya Uchaguzi
ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi
Kinana
akisaidia kung'oa visiki katika shamba la Umoja la Rika baada ya
kushiriki kulima kwa kutumia trekta katika Kijiji cha Mkotokuyana,
wilayani Nachingwea leo.
Mbunge
wa Jimbo la Nachingwea, ambaye pia Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias
Chikawe akisaidia kung'oa visiki katika shamba la Umoja Rika, Nachingwea
leo
Post a Comment