MUKHTASAR WA ZIARA YA KATIBU MKUU KATIKA MKOA WA ARUSHA KUANZIA TAREHE 13-21/03/2015.
Katika ziara ya Mkoa wa Arusha, Katibu mkuu pamoja na msafara wake amesafiri kwa wastani wa kilometa 2,671 za barabara.
Ametembelea wilaya 6 na majimbo yote 7 ya uchaguzi katika mkoa wa Arusha.
Pia, Katibu mkuu amehutubia jumla ya mikutano 69 ikiwemo mikutano ya hadhara 61 na mikutano 8 ya ndani.
Katika ziara yake, amekagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika jumla ya miradi 44 ikiwemo miradi 6 ya Chama na miradi 38 ya maendeleo ya wananchi.
Ndugu Kinana amepokea jumla ya wanachama wapya 4,290 waliojiunga na CCM wakiwemo wanachama 519 kutoka vyama vya upinzani.
KATIBU MKUU AKIHUTUBIA WANANCHI WA KARATU.
KATIBU MKUU AKIHUTUBIA WANANCHI WA KARATU.