Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Izzo Bizness, Stamna na Snura Watunukiwa Vyeti Huko Songea



"Naomba kutanguliza shukrani zetu kwa chuo cha AJUCO Songea kwa kututunuku vyeti vya kutukuka kupitia (CHAWAKAMA) chama cha wanafunzi wa kiswahili vyuo vikuu vya afrika mashariki. Cheti hiki ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango wetu ndani na nje ya chuo chenu kwa kuamini tutaendelea kuwa mabalozi wazuri wa (CHAWAKAMA) KISWAHILI NI HAZINA YA AFRIKA KWA MAENDELEO ENDELEVU." Msanii Izzo Busnes aliandika hiyo jana kwenye ukurasa wake mtandaoni.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top