Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UCHAGUZI MKUU WA BMT KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.

 
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi  wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika 10 Juni mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.

Hayo yamesemwa na  Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.

 Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania   (TBA) hadi  Juni 5 mwaka huu.

Amesema kuwa Fomu zinapatikana ofisi za Baraza la Michezo na kwenye tovuti ya Baraza, gharama ya  fomu ni shilingi elfu 10,000/=,Amesema kuwa nafasi ya Mwenyekiti nafasi 1,Makamu Mwenyekiti nafasi 1,Katibu Mkuu nafasi 1,Katibu Mkuu Msaidizi nafasi 1,Mweka Hazina nafasi 1,Mweka Hazina Msaidizi nafasi 1na Wajumbe nafasi tano  wakuchaguliwa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top