Loading...
DIAMOND PLATINUMZ AMLIZA WEMA SEPETU!
Staa wa Bongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Inasikitisha! Mrembo Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amejikuta akiangua kilio baada ya kupewa maneno ya kejeli na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia kupigwa chini kwenye kura za kuwania Ubunge wa Viti Maalum mkoani Singida kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mrembo kunako Bongo movie aliyekuwa akiwania ubunge wa viti maalum Ikungi Singida, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.
BLOG RAFIKI
-
-
KAMATI YA BUNGE UGANDA, YAVUTIWA NA MIUNDOMBINU YA UDOM54 minutes ago
-
Duniani Leo1 hour ago
-
-
-
Kurasa za magazeti Aprili 19, 202420 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment