Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PROF. MWANDOSYA AMUONYA MKAPA

Katika kipindi hiki muhimu, kama Taifa, inatupasa tuzingatie: kuvumiliana, kuheshimiana, kukubaliana, kukubali kutokubaliana, kushindana kwa hoja, na kutumia lugha yenye staha. Msaafu Mtakatifu unatukumbusha "....Vivyo hivyo ulimi nao ni kiungo kidogo, nao huvuna majivuno makuu. Angalieni jinsi moto mdogo uwashavyo msitu mkubwa sana....."Msaafu Mtakatifu unatuonya pia "...kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa...".-Prof. Mark James Mwandosya

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top