Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda leo amewaweka ndani kwa saa sita
maofisa ardhi zaidi ya 10 huko Kawe baada ya kuchelewa kufika eneo
walilokubaliana kukutana.
Makonda
jana alikuwa amewataka Maofisa hao kufika eneo la Nakasangwe Kata ya
Wazo leo asubuhi kutoa ufafanuzi wa mgogoro wa ardhi lakini wao wakafika
saa 5.
Post a Comment