MREMBO
anayesukuma maisha yake kupitia sinema Bongo, Jacqueline Wolper
amejitapa kuwa haoni tatizo kuchukua mume wa mtu kwani wanaoibiwa ni
wadhaifu.
Akifafanua
kauli yake, Wolper alisema, kumekuwa na malalamiko mengi ya mastaa wa
kike kuhusu kuibiana mabwana kitu ambacho yeye anaamini kwamba kama
ukiwa mbunifu huwezi kuibiwa, wanaoibiwa wasilalamike.
“Bibi
eeeh acha waseme. Mimi nikikuibia bwana ujue nimekuzidi ujanja inabidi
uwe tu mpole siyo kuanza kuchongachonga tu kwa watu,” alisema Wolper.
Post a Comment