Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MRADI WA MWENDO KASI KUHAMIA KILWA ROAD MBAGALA

Awamu ya pili ya ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka unatarajia kuanza mwaka ujao wa fedha.

Mradi huo utafadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na utahusu Barabara ya Kilwa kupitia Mbagala wilayani Temeke, Dar es Salaam.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Dart, Ronald Lwakatare kulingana na Sensa ya Makazi na Watu 2012, Temeke kabla ya kugawanywa na Kigamboni, ilikuwa na eneo la kilomita mraba 656 na watu 1,368,881.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top