Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUTURISHA

MKO8 
Waziri Mkuu Kassim Majliwa akizungumza na waalikwa   katika futari  aliyoiandaa kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Juni 10, 2016.

MKO6 
Mke wa Waziri Mkuu,  Mary  Majaliwa  akiwa na baadhi ya  waalikwa  katika  futari ilyoandaliwa na  Waziri Mkuu, kwenye makazi yake  jijini Dar es salaam  Juni 10, 2016.  Wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)
MKO7Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM akishiriki pamoja na waalikwa wengine katika futari hiyo iliyoandaliwa kwenye makazi ya Waziri mkuu. 
MKO3 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya waalikwa waliohudhuria futari aliyoiandaa kwenye makazi yake jiji Dar es salaam  10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKO4 
 Waziri Mkuu,  Mh Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya waalikwa walioshiriki katika futari  iliyoandaliwa na  Waziri Mkuu kwenye Makazi  yake jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKO5 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na baadhi ya  waalikwa  wakishiriki katika  swala ya jioni kabla ya futari  iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye makazi yake  jijini Dar es salaam Juni 10, 2016.
MKO9 
Waziri Mkuu Kassim Majliwa akisalimiana na  Bw. Seif Ali Seif   katika futari  aliyoiandaa kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKO10 
Waziri Mkuu Kassim Majliwa akisalimiana na  Mh. Raymond Mushi Mkuu wa wilaya ya Ilala  katika futari  aliyoiandaa kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKO11 
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanawake walioshiriki katika futari aliyoiandaa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye makazi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. Kulia  kwake  ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ5 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya  ya Wazazi Tanzania , Abdallah Buelembo katika futari aliyoiandaa kwenye makazi yake  jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)
MAJ1 
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akisalimiana na Mke wa Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Dar es salaam Azalina Madabida katika futari aliyoiandaa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye Makazi yake jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ2 
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa (kushoto) akisalimiana na  Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema  katika futari aliyoiandaa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye makazi yake jijini Dares salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ3 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Happi  (kushoto) na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam , Simon Siro katika futari  aliyoiandaa kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Juni 10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ4 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kamanda  wa Kanda Maalum  ya  Dar es salaam , Simon Siro  katika futari aliyoiandaa kwenye Makazi yake  jijini  Dar es salaam Juni 10, 2016.  Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Happi (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKO1 
Waziri Mkuum Kassim  Majaliwa akisalimiana  na Katibu Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini ya mkoa wa Dar es salaam, Padri John Solomon wa Kanisa la Anglikani (kulia) na Mwenyekiti wa Kamati  hiyo, Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam , AlhajiMussa Salum katika Futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu kwenye makazi yake jijini Dar es salaam Juni10, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKO2 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya waalikwa waliohudhuria futari aliyoiandaa kwenye makazi yake jiji Dar es salaam  10, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top