Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MPYAA.... KIKWETE AFUNGUKA NDANI YA KIKAO CHA KAMATI KUU


Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete ameongoza kikao chake cha mwisho cha kamati kuu ya chama hicho (CC) na kuwakebehi waliodhani chama kingeanguka kipindi cha uongozi wake.

Kikwete amesema kuwa waliodhani CCM ingekufa na kujiandaa kutoa salamu za rambirambi imekula kwao.

"Wapo wale waliodhani kwamba wangeibuka lakini hawakuibuka na hawataibuka," amesema Kikwete wakati akifungua kikao hicho".

PICHA NA EDWIN MJWAHUZI MCL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top