Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS... PROFESA CHUO KIKUU AFARIKI NDANI YA NDEGE


Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Arusha (JKUAT), Profesa Ward Mavura wakati wa uhai wake 

Dar es Salaam.  Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Arusha (JKUAT), Profesa Ward Mavura amefariki dunia leo wakati akiwa kwenye ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha.

Chanzo kimoja kilicho karibu na familia hiyo kimesema kuwa  Profesa Mavura alikuwa anatarajia kwenda India kwa ajili ya matibabu.

Mwili wa Profesa Mavura umehifadhiwa katika Hospitali ya Amana wakati shughuli za mipango ya kusafirisha mwili kwenda Usangi kwa dada yake zikifanyika.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top