Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS MAGUFULI AAMURU WANANCHI WAPEWE MADINI BURE

Katika kile kinachoonekana kama maamuzi magumu zaidi kuwahi kufanywa na Rais Dr Magufuli,ni pamoja na kuagiza wananchi kugawiwa bure madini kutoka katika mgodi wa  GGM.

Rais Magufuli ametoa amri hiyo leo hii akiwa katika ziara zake katika mikoa ya tabora,shinyanga,na Geita,ambapo ameiagiza waizara ya nishati na madini kuhakikisha wananchi wanapata mawe ya madini hayo kwa ajili ya kuinua hali zao za maisha.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top