Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AUNGANA NA RAIS MAGUFULI




Spika wa Bunge, Job Ndugai ameagiza mikutano yote ya Kamati za Bunge itakayoanza Agosti 22 mpaka Septemba 4 mwaka huu ifanyikie mjini Dodoma.

Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Spika Ndugai ameeleza kuwa Bunge ni muhimili ambao tayari ulishatekeleza kwa vitendo kuhamia Dodoma.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top