Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TCU IMETOA ORODHA YA VYUO AMBAVYO HAVITARUHUSIWA KUDAHILI 2016/17

Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imetoa orodha ya vyuo ambavyo havitaruhusiwa kudahili wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2016/17. Vyuo vilivyozuiwa kudahili ni pamoja na;

1. International Medical and Technological University (IMTU) – Kozi zote.
2. St. Francis University College of Health and Allied Sciences (SFUCHAS) – Kozi zote.
3. University of Bagamoyo (UoB) – Kozi zote..
4. St. Joseph University of Engineering (SJUCET) – Kozi zote..
5. University of Dodoma (UDOM) – Kozi ya udaktari
6. State University of Zanzibar (SUZA). – Kozi ya udaktari
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top