Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

FIESTA YAACHA GUMZO SHINYANGA

Msanii wa Bongo Fleva Linah akiwaburudisha wakazi wa Shinyanga katika Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika katika Uwanja wa Nje wa Kambarage Mjini Shinyanga mwishoni wa wiki hii.

Billnas na Linah wakiimba kwa pamoja katika jukwaaa la Tigo Fiesta 


Madee akilishambulia jukwaa la Tigo Fiesta huku mashabiki wakiishangilia wakati wa Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika mwishoni wa wiki hii Mjini Shinyanga

Niki wa Pili akionesha umahiri wa mashairi katika jukwaa la Tigo Fiesta mwishoni wa wiki hii mjini Shinyanga 

Msanii nguli wa Bongo Fleva na mkazi wa Shinyanga Noorah akitumbuiza katika Jukwaa la Tigo Fiesta mapema mwishoni wa wiki iliyopita .
Benpol na Jux wakiimba kwa pamoja wimbo wa NAKUCHANA katika jukwaa la Tigo Fiesta viwanja vya Kambarage Mjini Shinyanga

Chemical akionesha umahiri wake na kuburudisha umati wa wakazi wa Shinyanga waliohudhuria Tamasha la Tigo Fiesta mapema mwishoni wa wiki iliyopita.




Jay Moe akiwarusha wakazi wa Shinyanga katika Tamasha la Tigo Fiesta mwishoni wa wiki hii

Umati wa wakazi wa Shinyanga wakitoa SHANGWE ya IMOOOO katika Tamasha la Tigo Fiesta liliofanyika katika viwanja ya Kambarage mwishoni wa wiki iliyopita

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top