Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

IGP Ernest Mangu 'alamba ulaji' mpya



Wakuu wa majeshi ya polisi katika nchi za Afrika zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC), wanatarajiwa kumpa uenyekiti wa Shirikisho la Majeshi ya Polisi Kusini mwa Afrika (Sarpcco), Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Ernest Mangu.

Msemaji wa jeshi hilo nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Advera Bulimba alisema jana kuwa IGP Mangu atashika nafasi hiyo kwa mwaka mmoja. Mangu anapokea kiti hicho kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Msumbiji.

Chanzo: mwananchi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top