Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Manfongo atoboa siri nzito kati yake na Snura

 
STAA wa Muziki wa Singeli, Amani Hamisi ‘Man Fongo’ ambaye picha yake akiwa amemkumbatia Snura Mushi imezua gumzo, amesema yeye na mkali huyo wa Kibao cha Majanga ni marafi ki wanaoishi Kizungu, hivyo watu wasishangae ikitokea siku akambusu sehemu yoyote.
“Snura ni dada yangu sana na mama yangu pia, ila undugu wetu ni wa Kizungu zaidi, usishangae siku nyingine kuniona nambusu sehemu yoyote
maana mama akipika huwa tunafunua, kama ilivyo kwa shemeji kwamba hainaga ushemeji, tunakulaga,” alisema. Kwa upande wake, Snura aliiambia Za Motomoto News; “Man Fongo ni mwanangu, ananiita mama na ile picha tulipiga tukiwa studio na aliamua tu
kunipakata, lakini hatuna uhusiano wa kimapenzi wala nini.” 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top