Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akionesha moja ya kifaa walichokuwa wakitumia majambazi hao kuangalia wakati wa kufanya uhalifu,mbele ya waandishii wa habari (hawapo pichani) ikiwa ni sehemu ya vifaa vilivyokuwa vikitumika na majambazi.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akionyesha bunduki kwa waandishi wa habari ikiwa ni sehemu ya bunduki zilivyokuwa zikitumika na majambazi sugu .
Post a Comment