Loading...
Muuzaji kivuko Mv. Dar es Salaam akubali yaishe kwa Rais Magufuli
Muuzaji wa kivuko cha MV Dar Es Salaam amekubali kurekebisha mapungufu yaliyomo kwa gharama zake kwenye kivuko hicho ili kufanana na mkataba wa mauziano.
- Serikali ilikataa kupokea kivuko hicho kilichogharimu Bilioni 8 baada ya kuwa na mapungufu kadhaa kama yalivyobainishwa na mafundi pamoja na ripoti ya CAG.
Chanzo: JF
Post a Comment