Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Serikali yataja mkakati mpya wa kutatua tatizo la Waalimu mashuleni

Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo..

Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo asema wahitimu shahada za sayansi ambao si walimu kupatiwa mafunzo maalum wakafundishe kwenye shule zenye uhaba wa walimu wa sayansi sehemu mbalimbali nchini.

Ikiwa ni sehemu ya malengo ya serikali ya awamu ya tano ya kupambana na tatizo la uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi nchini
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top