Loading...
BREAKING NEWS .... Diwani wa Chadema ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela
CHADEMA mkoa wa Mara tunasikitika kuwataarifu wanachama kuwa diwani wa kata ya Kiangasaga mheshimiwa Kichinda almaarufu Mzee wa protocal amehukumiwa leo na mahakama ya wilaya ya Tarime kutumikia kifungo cha miaka mitano jela kwa kesi ya katiba iliyokuwa inamkabili kuwa alichaguliwa kuwa mjumbe wa baraza la katiba akajitoa. Ni kilio kingine kwa demokrasia ya nchi yetu na ufanisi katika siasa za CCM.
Mwl Chacha Heche
Katibu wa mkoa Mara
Post a Comment