Loading...
BREAKING NEWS .... Makonda afunguliwa rasmi .... Agoma kuomba radhi
TEF watangaza kumfungulia rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tumesikiliza pande zote mbili na kugundua kuna sehemu ya mawasiliano katikati ilikatika na hivyo tumeona tuyamalize kwa manufaa ya taifa.
Makonda agoma kuomba radhi, kwa madai kuwa hakupewa nafasi ya kusikilizwa.
Licha ya mkutano wenyewe kumalizika kwa mvutano. Wasema wamuunga mkono Rais Magufuli kwa jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleo.
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
Zuma akataliwa kugombea urais3 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment