Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Shamsa Ford ampa makavu Hamisa Mobeto

 Wakati sakata la Hamisa Mobeto kuzaa na mzazi mwenziye Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, likiwa bado bichi na watu wakiendelea kumuweka kikaangoni kwenye mitandao ya kijamii, Queen wa Bongo Muvi, Shamsa Ford, ameandika ujumbe ambao mashabiki wanadai ni kijembe kwa Mobeto.

Baada ya post hiyo, mashabiki wa Hamisa walimjia juu Shamsa na kumshushia kichambo wakimtaka aachane na ishu za mwanamitindo huyo, badala yake apambane na hali yake.


Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top