Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kamanda wa Polisi Arusha apata ajali

Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Charles Mkumbo amepata ajali mbaya ya gari katika eneo la Mdori mkoani Manyara baada ya gari alilokuwa akitumia kusafiria kupasuka gurudumu ‘tairi’ ya nyuma na kupoteza muelekeo.

Taarifa hizo zilizothibitishwa na mlinzi wa Kamanda Mkumbo kwa njia ya simu ya RPC, amesema Mkumbo amepata ajali hiyo ambapo ndani ya gari aliyokuwa akiitumia walikua watu watatu akiwemo msaidizi wake pamoja na dereva.

Kamanda Mkumbo amepelekwa katika hospitali ya Mount Meru mkoani Arusha kwa ajili ya matibabu zaidi huku ikielezwa kuwa ameumia vibaya maeneo ya kichwani.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top