Chupa iliyorushwa katika bahari miaka 132 iliyopita,ikiwa na ujumbe ndani yake imepatikana katika kisiwa cha Wedge nchini Austalia.
Chupa hiyo iliyorushwa na meli ya Ujerumani,imepatikana baada ya miaka 132 katika kisiwa cha Wedge ambacho kiko kilomita 180 kutoka katika mji mkuu wa Perth nchini Australia.
Chupa hio imevunja rekodi ya ujumbe wa chupa mkongwe zaidi duniani.
Hapo awali ujumbe wa chupa mkongwe zaidi ulipatikana nchini Denmark baada ya miaka 108,miezi 3 na siku 18.
Chupa hiyo ilipatikana Denmark mwaka 1934.
chupa hiyo iliyopatikana sasa nchini Austalia itawekwa katika jumba la makumbusho la Australia kwa miaka 2.
Chupa hiyo iliyorushwa na meli ya Ujerumani,imepatikana baada ya miaka 132 katika kisiwa cha Wedge ambacho kiko kilomita 180 kutoka katika mji mkuu wa Perth nchini Australia.
Chupa hio imevunja rekodi ya ujumbe wa chupa mkongwe zaidi duniani.
Hapo awali ujumbe wa chupa mkongwe zaidi ulipatikana nchini Denmark baada ya miaka 108,miezi 3 na siku 18.
Chupa hiyo ilipatikana Denmark mwaka 1934.
chupa hiyo iliyopatikana sasa nchini Austalia itawekwa katika jumba la makumbusho la Australia kwa miaka 2.
on Tuesday, March 13, 2018
Post a Comment