Mhe.
Sophia Simba akipewa maelezo na Bill Marwa kuhusiana na tovuti rasmi
iliyotengenezwa maalumu kwa ajili ya kupaza sauti ya mwanamke (www.sautiyamwanamke.org)
baada ya kuizinduwa kwenye uzinduzi wa Mdahalo wa Kitaifa wa Wanawake
unaofanyika Dodoma. Waliosimama kushoto kwa waziri ni Teresa Yates na Hilda
Mashauri viongozi wa mtandao wa jinsia wa asasi za kiraia (CSO Gender
Coalition) waandaaji wa mdahalo huo.Tovuti hiyo itatumika kutoa taarifa za kila
siku za mdahalo na kuendelea kupaza sauti ya mwanamke baada ya mdahalo kwa
kuandika habari mbalimbali zinazohusu mwanamke.
Loading...
MATUKIO MBALIMBALI YA MDAHALO WA KITAIFA WA WANAWAKE MJINI DODOMA
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
Duniani Leo2 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment