Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Hili ndilo neno alilotoa Ommy Dimpoz mbele ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu Waziri aliyeonekana kama anataka kumbania.

dimpoz
 
Wikiendi iliyopita waimbaji na waigizaji wa filamu kwa pamoja wakiwa kama wadau wakuu wa sanaa ya Tanzania walikutana Dodoma kwa ajili ya kampeni ya Naiaminia Tanzania baada ya kukamilika kwa tamasha lile lililofanyika uwanjani lilifuatiwa na chakula cha usiku ambapo Mr President Jakaya Kikwete aliwaalika wasanii mbalimbali.
Sasa unaambiwa katika ule muda wa kupiga piga picha ulipofika Ommy Dimpoz alikuwa akihitaji sana kupiga picha na Rais kuna Waziri ambaye Ommy Dimpoz alimuona kama anambania kupiga picha na Rais ndipo akamwambia
‘Kaka we hujamzoea tu rais’ ndipo watu wote ikabidi wacheke,msikilize Soudy Brown akiongea na Ommy Dimpoz.
88.0 Clouds Fm inasikika ukiwa Tabora.
Bonyeza play kusikiliza.

Credit: millard ayo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top