Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo. [/caption][caption id="attachment_47854" align="aligncenter" width="480"]
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.[/caption][caption id="attachment_47857" align="aligncenter" width="418"] Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA, Mariam Khan akiwasilisha mada katika mkutano huo.[/caption][caption id="attachment_47855" align="aligncenter" width="640"] Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba (katikati) akiwa meza kuu kabla ya kufungua mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.[/caption][caption id="attachment_47848" align="aligncenter" width="640"] Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_47847" align="aligncenter" width="640"] Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_47849" align="aligncenter" width="640"] Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_47852" align="aligncenter" width="640"] Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini unaofanyika Kunduchi Beach Hotel and Resort jijini Dar es Salaam.[/caption][caption id="attachment_47850" align="aligncenter" width="640"] Picha ya pamoja kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akiwa na wawakilishi wa asasi za kijamii zinazojihusisha na kupambana na ukeketaji maeneo mbalimbali nchini Tanzania.[/caption][caption id="attachment_47851" align="aligncenter" width="640"] Picha ya pamoja kati ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akiwa na wajumbe wa mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.[/caption]
Post a Comment