
.
Mara ya kwanza zilikamatwa bandarini Dar es salaam kwa kosa la kutokaguliwa katika nchi zilizotoka mapema August ambapo mamlaka hiyo iliagiza zirudishwe India.
Kaimu Mkurugenzi wa TBS Leandri Kinabo amesema bidhaa hizo zimepimwa na kufeli vipimo vitatu vya kuthibitisha ubora wa bidhaa hapa Tanzania ambapo TBS imeanza mipango ya kuzisaka hizo Condom kwenye maduka mbalimbali ya dawa.
Post a Comment