Maswali magumu kwa maaskofu:
Ni upi utaratibu wa kisheria wenye reference toka kwenye biblia juu ya vazi la mwanamke wa kikisto? au sheria hii
imewekwa baada ya "watakatifu" Kukwazwa? Viongozi wa kikisto wasiwaonee waumini isipokuwa wawaeleze vifungu vinavyowakataza kuvaa vimini!



Post a Comment