Taarifa ya kujiuzulu kwa
Boswell imetolewa na Msemaji wa wizara hiyo Victoria
Nuland.
Ripoti hiyo ina mapendekezo
29 ambayo yote yamekubaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bibi Hillary
Clinton.
Awali katika barua yake kwa
kamati ya bunge la Marekani, Clinton alisema ameielekeza wizara yake kutekeleza
haraka yale yaliyomo kwenye ripoti hiyo.
Maafisa wanne wa Marekani
waliauwa katika shambulio hilo, akiwemo aliyekuwa balozi wa Marekani nchini
Libya Christopher Stevens.
Post a Comment