![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpIBJ_dqehk_XYQpHhYsRaYn3j0a5xc1ArmUHEfPjk9nlZQ4W0VhJCJgsrnFtbvXJpY4ktLI-Ea4hzlikBOo4GHPyaN6obFE9JS_1qqbRl37qU7tZqk8MM3fL6kq9mMktsL2ZyhZ4_ciw/s1600/ccm_header1.jpg)
Nafasi zilizokuwa zikiwaniwa ni wenyeviti wa vijiji 13 na vitongoji 61 ambapo vyama vya CCM, CHADEMA na TLP vilijitokeza kuwania nafasi hizo ingawa TLP hawajaambulia nafasi yoyote.
Taarifa iliyotolewa na msimamizi wa uchaguzi huo wilaya ya Kyela, Omary Mungi, ilieleza kuwa CCM ilishinda katika vijiji nane na CHADEMA imeshinda katika vijiji vitano na katika nafasi ya vitongoji, CCM wamepata vitongoji 50 na CHADEMA 11.
Chanzo: Tanzania Daima
Post a Comment