Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WEMA NA WOLPER WATOA BURUDANI YA AINA YAKE

Mwamuzi akiamua mpambano uanze.

Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Wolper na Wema wakionyeshana ubabe.
Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpinzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpambano wao
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo
Wema na Wolper  wakishoo love kwa kupozi baada ya mpambano uliowaunganisha pamoja kwisha
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio kwa amani na upendo tele.
 PICHA NA GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top