Hivi
ndivyo basi La Abood lilivyo pata ajali baada ya kugongana na
Kenta
Basi
la Abood
Hivi
ndivyo Basi Lilivyo Haribika
Haya
ni mambaki ya Vioo vilivyo vunjika
Baadhi
ya vitu vikiwa vimemwagika chini
Hili
ni Scania ambalo lilikuwa likitokea Zambia
Dirisha
likiwa lililovunjika
Baadhi
ya Abiria wakiwa wanapata maelekezo kutoka kwa polisi
picha
zote ni kutoka www.mbeyayetu.blospot.com
BASI LA ABOOD
LENYE USAJILI WA NAMBA T 545 AZE LIMEPATA AJALI MAENEO YA SAE SEHEMU MAARUFU
KWA JINA LA KWA MBILINYI LIKITOKEA DAR ES SALAAM KUELEKEA TUNDUMA. AJALI HIYO
IMETOKEA BAADA YA LORI LA MIZIGO AINA YA SCANIA LIKIWA LIMETOKEA ZAMBIA KUELEKEA
DAR WAKATI WA KUTAKA KUPISHANA NA BASI HILO, NA NDIPO GARI AINA YA KENTA
IKAJITOKEZA NA KUJICHOMEKA BARABARANI NA KUSABABISHA AJALI
HIYO.
KATIKA AJALI
HIYO MTU MMOJA AMBAYE ANAITWA CHALE KITELEKE AMBAYE PIA ALIKUWA NDIYE KONDA WA
BASI HILO AMEFARIKI PAPO HAPO, PAMOJA NA MAJERUHI NANE AMBAO WAMEKIMBIZWA
HOSPITALINI .
















Post a Comment