Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSANII KERI HILSON, KUTUA DESEMBA KUPIGA SHOO TANZANIA NA KENYA




NEW YORK, Marekani

MSANII kutoka jijini New York, Keri Hilson, anayetamba na nyimbo zake kali kama ‘That way you love me’, ‘Pretty girl Rock’ na ngoma nyingine, anatarajia kutua nchini hivi karibuni kwa ajili ya kudondosha bonge la Shoo, ambapo pia atamalizia shaoo yake nchini Kenya, Imeelezwa.

Taarifa hizo zimetolewa na Msanii huyo katika ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter, ambapo ameweka wazi kuwa anatarajia kuwasili nchini mwezi ujao wa Desemba, ambapo amesema kuwa hiyo itakuwa ni mara yake ya kwanza kufanya Shoo katika Nchi za Afrika Mashariki hususan kwa nchi kama Tanzania na Kenya.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top